COOK
`N LITE LTD, ni mwanachama
wa Mungano was Kimatifa. Kundi la "Comcraft"
(ambalo liko duniani, na limetapakaa katika
nchi 52; na lililo na shughuli mbali mbali
za kibiashara); ni mtengenezaji mkubwa wa
vitu vya kaure, taa za karabai na stovu za
mafuta ya taa katika Afrika.
Cook 'N Lite ilianzisha mwaka 1999. Kabla
ya hapo, ilikuwa sehemu ua "Kaluworks
LTD" na ikawa ikifanya kazi tangu
1929 wakati Kaluworks ilipokuwa imeanzishwa.
Mtambo na Afisi Kuu iko katika barabara ya
Mwangeka jijini la bandari ya Mombasa. Afisi
ya soko na mauzo iko barabara ya Kitui, eneo
la viwanda jijini Nairobi.
Leo "Cook 'N Lite" imeibuka kama
kiongozi was soko nchini Kenya, mauzo yake
yafika nchi za nje kwa soko zinzotambua haila
ya juu kama vile Misri, Afrika Kusini, UAE,
Mauritius, Bara Hindi, Kando na zile soko
nyigine za kiafrika kama Tanzania, Uganda,
Rwanda, Zambia, Burkina Faso, Malagasy, Sudan,
Malavi, Ushelisheli, Somalia, Nigeria nk,
tukitaja chache tu.
Kwa miaka mingi "Cook 'N Lite" imepata
uelevi wa hali ya juu, ujuzi na utaalamu katika
huduma za misaada ya majanga, kutoka maneno
ya vita ya Sudan, Iran na Somalia mpaka kwa
wale waliokumbwa, na janga la Tsunami was
Sri Lanka na sehemu karibu jangwa za sahara
barani Afrika za misaada ya wafadhili kwa
jumla. Aidha misaada hii yapita Umoja wa Mataifa
katika mashirika yake kama UNHCR & ICRC
nk ama mashirika yasiyo ya serikali (NGO's)
kwa mfano (World Vision).
Vyombo Vya Kaure vya "Cook 'N Lite"
ni vya aina mbali mbali kutoka aina za mardio
makubwa ya zawadi ambavyo vinaletwa kwenye
katoni za zawadi zinazovutia (sahani za kaure,
bakuli za matunda na birika za chai) mpaka
kwa vitu vya mtu wa kawaida kama makombe,
sahani za mchuzi / wali, bakuli za mikono,
beseni nk, katika desini mbali mbali, miundo
na vimo 777 & 999, ambazo ni aina mbili
zina uzwa haraka kama vile vile aina ya stovu
82, 88, 85 zivutiazo aina ya "Jumbo"
na "Deluxe" zote hizo zategenezwa
na Cook 'N Lite.
Orodha ifuatayo ni ya Mchanganyiko ni tabaka
mbali mbali za mazao ya Cook "N Lite:
1. VITU VYA KAURE:
Kombe, Vikomabe, Sahani za Mchuzi / Wali,
Beseni, Birika za Chai, Birika za Sitima,
Vyungu vya Bizari, Bakuli za Miguu ya Vidole,
Mukebe ya Maziwa, Treyi, Seti ya Sahani za
Kaure na Vitu vya masoko makubwa viliyo na
Bakuli za Matunda, Vyungu vya Kupikia, Sahani
za Kaure nk.
2. TAA ZA KARABAI:
999, 777, 555 FRAU, FRAU WASTANI , 2000 na KANDILI YA SOLA
3. STOVU ZA MAFUTA YA TAA:
82, 85 JUMBO, 85 DELUXE na 88
4. KARAI ZA CHUMA KIGUMU (STEEL)
MCHANGO KATIKA UCHUMI WA KENYA
Cook 'N Lite inaajiri wakenya 1000 na bila
kupitia kuajiri, yasaidia familia 6000. Vitu
vya kufanya kazi na vingine vya mtambo na
vile viingizwavyo kwa utekelazji wa kazi,
pamoja na huduma kutoka kwa Wakenya mbali
mbali wa Jua Klai; nao pia wakisaidia kuhudumia
vile viwanda na kumfaidisha zile jamii ambazo
zimeajiriwa moja kwa moja na wao na zile ambazo
hazikuajiriwa na wao.
Hii inageuka kunufaisha bila ajira familia
nyingine 60,000 za Wakenya. Tukiongezea. CNL,
inachangia moja kwa moja Hazina ya Nchi kwa
njia ya kodi mbali mbali kwa mathalani, Ushuru
wa Forodha, Kodi ya Mauzo, Kodi ya bidhaa
ziingiazo n.k. ambavyo inafikia mamilioni
ya shiling pesa taslimu za kenya kila mwaka
kwa njia kuuza nje ya nchi asili mai 50% ya
mazao yake kwa jumla, Cook 'N Lite yachangia
kwa wingi yake mapato ya Fedha za Kigeni za
serkali ya kenya katika Hazina yake.